Site Logo
Microdata Portal
  • Datasets
  • Home
  • Catalog
  • Citations
  • RELI SKY
  • Collections
  • About
  • FAQs
  • Contact us
  • Login
    Login
APHRC Logo
    Home / Central Data Catalog / PWC02 / variable [F3]
central

Engisoma

Tanzania, 2022
Get Microdata
Reference ID
PWC02
Producer(s)
Pastoral Women Council
Metadata
DDI/XML JSON
Study website
Created on
Feb 20, 2024
Last modified
Feb 20, 2024
Page views
27421
Downloads
260
  • Study Description
  • Data Description
  • Downloads
  • Data files
  • Engisoma_2_baseline
  • Engisoma_community
  • Engisoma_Evaluation_STUDENT

Ni mabadiliko gani unakiri unayaona baada ya PWC kutekeleza mradi engisoma kweny (DKAP09)

Data file: Engisoma_community

Overview

Valid: 37
Invalid: 3
Type: Discrete
Decimal: 0
Width: 2
Range: 1 - 37
Format: Numeric

Questions and instructions

Literal question
Ni mabadiliko gani unakiri unayaona baada ya PWC kutekeleza mradi engisoma kwenye jamii
Categories
Value Category Cases
1 Elimu kuimarika na ufundishaji bora 1
2.5%
2 Haki ya mtoto 1
2.5%
3 Haki ya mtoto kupatikana, Mwamko wa Elimu, Miundo mbinu kuboreshwa 1
2.5%
4 Idadi ya wanafunzi kuhitimu imeongezeka kwa kiasi kikubwa, Idadi ya watoto wa kike shuleni imeongezeka 1
2.5%
5 Jamii imeanza kubadilika na kuachana na mila potofu kupitia mradi wa PWC, Wanafunzi wamepata vitabu na mazingira mazuri ya kujisomea 1
2.5%
6 Jamii kuhamashishwa kuhusu mtoto wa kike kupata elimu, Walimu kujitahidi kufundisha na kutoa ushirikiano kwa wazazi 1
2.5%
7 Kuboreshwa kwa ufaulu shuleni, Kuongezeka kwa usajili wa waotot hasa wakike, Kuongezeka kwa shauku ya kujifunza hasa watoto wa kike 1
2.5%
8 Kuelimika kifikra 1
2.5%
9 Kupata elimu kuhusu swala zima la shule, Jamii imekuwa na mtazamo mzuri juu ya kuwaelimisha watoto wa kike 1
2.5%
10 Kupata elimu ya kutokomeza ukeketaji na ukatili wa kijinsia kwa watoto wa kike, Ndoa na mimba za utotoni, Kuripoti na kufuatilia kesi mbalimbali za watoto wa kike wanapoachishwa shuleni 1
2.5%
11 Kupata ufanisi kazini, Kupata elimu bora 1
2.5%
12 Kupatikana kwa vitabu vya kiada vinavyosaidia wanafunzi na waalimu kujifunza, Uwepo wa mwanga wa kutosha katika madarasa pamoja na nyumba za waalimu 1
2.5%
13 Mabadiliko ninayokiri ni ufaulu wa wanafunzi kuwa mkubwa kutokana na mbinu mbalimbali kutumika iliyoletwa na miradi ya engisoma 1
2.5%
14 Mwamko mkubwa wa wazazi kushiriki katika vikao na kupata semina mbalimbali kupitia mradi hu wa PWC na kuwepo kwa mabadiliko tofauti kulinganisha na miaka mingine ya nyuma 1
2.5%
15 Mwamko wa elimu kwa watoto wa jamii za wafugaji umeongezeka kwani hata suala la utoro kwa wanafubzi limepungua kwa kiasi fulani 1
2.5%
16 Mwamko wa kusoma,Mwamko wa kujituma, Kujitambua na kujithamini kupitia elimu waipatayo 1
2.5%
17 Mwitiko mkubwa wa jamii kusomesha watoto hasa wa kike na kuacha mila potofu 1
2.5%
18 Nzuri sana 1
2.5%
19 Ongezeka la watoto wa shule katika kupata elimu hii ya sekondari licha ya ukweli kuwa sio wote wamesajiliwa ama kuandikishwa huwa wanafikia malengo ya kuhitimu elimu ya sekondari 1
2.5%
20 Solar, Watoto wanasoma vitabu, maabara,Club za haki za watoto, madarasa na maktaba 1
2.5%
21 Tumebadilika kutoka kwenye analogy kwenda digital japo kwa uchache, Tumepata vitabu vya kujifunzia hasa masomo ya sayansi, Tumeweza kuboresha mbinu za ufundishaji mfano kutumia laptop, tablet na proje 1
2.5%
22 Tumekuza muemko wa elimu kwa kiasi flani imesaidia kujua haki za mtoto wa kike na namna ya kuzilinda 1
2.5%
23 Ufaulu mzuri kwa wanafunzi, Kuwashawishi jamii kuwaleta watoto wao wasome kwenye shule yetu, Kuwajenga wanafunzi kuwa na uwezo wa kujiajiri baada ya kuhitimu kidato cha nne 1
2.5%
24 Ufaulu umeongezeka, Wanafunzi wanajisomea kupitia Vitabu, Solar kutoka PWC, Wanafunzi wanaishi sehemu salama na pia wamejenga madarasa 1
2.5%
25 Ufaulu wa wanafunzi kutokana na umeme kuwepo wakati wote kwaajili ya kujifunza na pia upatikanaji wa vitabu vya kutosha 1
2.5%
26 Ukeketaji umetokomezwa kpitia elimu waliyoipata, Ndoa za utotoni zimepungua ni mpaka mtoto aamue kuolewa kwa hiari yake mwenyewe 1
2.5%
27 Ushirikiswaji wa waalimu na wazazi juu ya maswala ya watoto wa kike 1
2.5%
28 Wanafunzi wameelimika na wamejua haki zao na wajibu 1
2.5%
29 Wanafunzi wameweza kupata solar za kusomea na maji ambayo wanatumia kupitia PWC kwa utekelzaji wao mkubwa umesaidia sana shule kuendelea kimaendeleo 1
2.5%
30 Wanafunzi wanajisomea kupitia sola iliyotolewa na PWC, Watoto na wanafunzi wanapata elimu nzuri kupitia vitabu, wanafunzi wanatambua haki zao za kulindwa, kusihi na kuendelezwa 1
2.5%
31 Watoto wa kike kujielewa na kukataa ukatili wa kijinsia hasa ukeketaji na kuwezeshwa mapema kwasababu wamepata elimu kutoka PWC 1
2.5%
32 Watoto wa kike kupelekwa shule, Watoto wa kike kutokuozeshwa mapema na Mafunzo ya kuelimisha jamii 1
2.5%
33 Watoto wa kike wamepata elimu juu ya umuhimu wa elimu 1
2.5%
34 Watoto wamejua haki zao na maendeleo yao yako vizuri darasani 1
2.5%
35 Watoto wamejua kusoma na kuandika 1
2.5%
36 Wazazi kwa kupeleka watoto shuleni 1
2.5%
37 wazazi wamepata mwamko wa elimu swala la ukeketaji limepungua, pia wanafunzi wameweza kupata mabadiliko mazuri katika masomo darasani 1
2.5%
Sysmiss 3
Warning: these figures indicate the number of cases found in the data file. They cannot be interpreted as summary statistics of the population of interest.
Back to Catalog
RELI Microdata

© RELI Microdata, All Rights Reserved.