Site Logo
Microdata Portal
  • Datasets
  • Home
  • Catalog
  • Citations
  • RELI SKY
  • Collections
  • About
  • FAQs
  • Contact us
  • Login
    Login
APHRC Logo
    Home / Central Data Catalog / PWC02 / variable [F3]
central

Engisoma

Tanzania, 2022
Get Microdata
Reference ID
PWC02
Producer(s)
Pastoral Women Council
Metadata
DDI/XML JSON
Study website
Created on
Feb 20, 2024
Last modified
Feb 20, 2024
Page views
27271
Downloads
260
  • Study Description
  • Data Description
  • Downloads
  • Data files
  • Engisoma_2_baseline
  • Engisoma_community
  • Engisoma_Evaluation_STUDENT

Je, ni yapi majukumu na wajibu wa umoja wa wazazi na waalimu katika kuboresha ub (FP05)

Data file: Engisoma_community

Overview

Valid: 34
Invalid: 6
Type: Discrete
Decimal: 0
Width: 2
Range: 1 - 34
Format: Numeric

Questions and instructions

Literal question
Je, ni yapi majukumu na wajibu wa umoja wa wazazi na waalimu katika kuboresha
Categories
Value Category Cases
1 Kufanya mkutano shuleni, Kufuatilia maendeleo ya shule na taaluma 1
2.5%
2 Kufuatia maendeleo ya watoto kupitia matokeo, Kuhakikisha mwanafunzi anapata elimu stahiki na kumpa mzazi pamoja na mwanafunzi ushirikiano kuhusiana na maendeleo ya shule 1
2.5%
3 Kufuatilia maendeleo ya kitaaluma kwa wanafunzi, Kuhamashisha wazazi kulipa michango mbali mbali 1
2.5%
4 Kufuatilia maendeleo ya mwanafunzi shuleni 1
2.5%
5 Kufuatilia maendeleo ya mwanafunzi, Kuwashirikisha wazazi mambo ya maendeleo shuleni 1
2.5%
6 Kufuatilia maendeleo ya wanafunzi, Kuhamasisha michango ya shule na Nidhamu kwa wanafunzi 1
2.5%
7 Kufuatilia taaluma ya watoto 1
2.5%
8 Kuhakikisha wanafunzi wanahudhuria vipindi vyote na kuhakikisha wanafunzi wanafaulu 1
2.5%
9 Kuhamasishwa kuwa kupitia vikao 1
2.5%
10 Kuhimiza mahudhurio ya wanafunzi shuleni 1
2.5%
11 Kujadili kwa pamoja maendeleo ya taaluma ya wanafunzi, Kubaini changamoto mbalimbali yanayokabili wanafunzi 1
2.5%
12 Kulinda nidhamu ya watoto wakiwa shuleni 1
2.5%
13 Kumpatia mahitaji na mafunzo mwanao awe bora 1
2.5%
14 Kumpatia mtoto haki za kimsingi ili aweze kuendelea vizuri na masomo yake 1
2.5%
15 Kumtimizia mwanafunzi/mtoto mahitaji yake na kuhakikisha maendeleo yake shuleni kwa mzazi na kutoa maendeleo ya mtoto shuleni kwa upande wa mwalimu 1
2.5%
16 Kushiriki katika kutatua changamoto mbali mbali za shule 1
2.5%
17 Kushiriki katika vikao vya shule na kupata changamoto mbali mbali zinazozikabili shule, Wazazi na waalimu wote kwa pamoja kufuatilia maendeleo ya mwanafunzi mmoja mmoja 1
2.5%
18 Kushiriki katika vikao vya wazazi na walimu ili kujua maendeleo ya wanao na shule kwa ujumla, Kujua kiwango cha ufaulu na wanafunzi shuleni 1
2.5%
19 Kushiriki vikao na h=kuhamasisha wazazi kuleta watoto shuleni kwa wakati 1
2.5%
20 Kushirikiana juu ya maendeleo ya mtoto awapo nyumbani na shuleni 1
2.5%
21 Kusimamia taaluma ya wanafunzi 1
2.5%
22 Kusimamia wanafunzi katika taaluma na nidhamu ili kuboresha elimu bora zaidi 1
2.5%
23 Kutoa elimu na hamasa kwa watoto wao kupenda kusoma 1
2.5%
24 Kutoa elimu na mafunzo kwa watoto 1
2.5%
25 Kutoa mafunzo na elimu kupitia mikutano 1
2.5%
26 Kutoa taarifa na kutoa ushirikiano wa walimu na wazazi 1
2.5%
27 Kutokomeza utoro wa wanafunzi na kuhadili mbinu mbali mbali za ufaulu 1
2.5%
28 Kuwashauri wanafunzi kusima vizuri na kuwapatia mahitaji yao ili waweze kuendelea katika masomo yao 1
2.5%
29 Kuweka bayana mipaka ya shule 1
2.5%
30 Kuwezesha mwanafunzi kusoma 1
2.5%
31 Mahitaji muhimu, Malezi mazuri, Kuwa na mawasiliano mazuri kati ya mzazi, mwanafunzi na mwalimu 1
2.5%
32 Mazingira salama ya mwanafunzi kujisomea, Uhudhuriaji wa wanafunzi, Kuwapatia wanafunzi mahitaji yao 1
2.5%
33 Mtoto kapata elimu bora na ufaulu mzuri 1
2.5%
34 Walimu kuwafundisha watoto kwa bidii ili waweze kufaulu mitihani vizuri 1
2.5%
Sysmiss 6
Warning: these figures indicate the number of cases found in the data file. They cannot be interpreted as summary statistics of the population of interest.
Back to Catalog
RELI Microdata

© RELI Microdata, All Rights Reserved.